Ruka hadi maelezo ya bidhaa
1 ya 1

Mwongozo wa Kuhamia Tanzania

Mwongozo wa Kuhamia Tanzania

Bei ya kawaida 150,000.00 TZS
Bei ya kawaida Bei ya mauzo 150,000.00 TZS
Inauzwa Zimeisha

Mascani.io inatoa huduma ya mwongozo wa kuhama kwa wale wanaohamia Tanzania, ikiwemo ushauri kuhusu taratibu za kisheria, vibali vya kuishi, huduma za makazi, na mahitaji mengine muhimu kwa wahamiaji.

Huduma hii inahusisha kuunganishwa na wataalamu wa sheria, usafiri, na makazi ambao watahakikisha mchakato wa kuhamia unafanyika kwa urahisi na kwa kufuata sheria za Tanzania.

Mteja atapata ushauri kuhusu utaratibu wa kupata makazi, huduma za kisheria, na mambo mengine ya muhimu ili kuanza maisha mapya kwa urahisi na kwa salama. Huduma hii inapatikana kwa gharama ya TZS 150,000 kwa lisaa, na malipo hufanyika baada ya ushauri kutolewa.

Pitia maelezo kamili
Kikapu chako cha manunuzi
Aina ya Bidhaa/Huduma Jumla Idadi Bei Jumla
Saa 1
Saa 1
150,000.00 TZS PC
0.00 TZS
150,000.00 TZS PC 0.00 TZS