Mtaalamu wa Teknolojia za Kidigitali

Mtaalamu wa Teknolojia za Kidigitali

Regular price 70,000.00 TZS
Regular price Sale price 70,000.00 TZS
Sale Zimeisha

Kupitia huduma hii, tunakuunganisha na wataalamu wa teknolojia za kidigitali watakaokusaidia kufunga mifumo ya kisasa kama camera, kwenye majengo yako.

Kwa kutumia mfumo huu, utatuma maombi, lakini malipo yatafanyika mara baada ya huduma uliyoomba kukamilika. 

Ufafanuzi: 

  • Kiasi cha TZS 70,000  ni ada unayolipa kwa huduma ya kuunganishwa na mtaalamu (agent fee). Haya ni Malipo yanayolipwa kwetu kwa kukuwezesha kupata mtaalamu anayekidhi mahitaji ya mradi wako. 
  • Malipo ya kazi yenyewe (service fee) yatajadiliwa moja kwa moja kati yako na mtaalamu wakati wa kusaini mkataba, baada ya mahitaji na majukumu ya kazi kufafanuliwa kikamilifu. 
View full details